Wednesday, 8 September 2021

Klean Heart apania siasani

 

Mkongwe wa muziki na pia CEO wa Pillar Works studios aweka wazi azma yake ya kuwania kiti cha Udiwani (MCA) mjini Malindi mwaka wa 2022 .
Mashabiki wake wamedhibitisha hilo baada ya posti zake za hivi karibuni katika kurasa zake za mitandao ya kijamii .Je atawezana na ushindani uliopo mjini Malindi  ama anajipotezea muda ?Na je akipata nafasi ataweza kumudu sekta zote mbili kwa ukamilifu(muziki na siasa )? 
Tunamfuatilia mkongwe huyu wa muziki kujua ukweli kuhusu madai haya.


No comments:

Post a Comment